Wakimbizi: Maisha mapya Uganda
Soko la ajira laibuka
Katikati ya kambi ya Nakivale pamefanana na mji mdogo: Kuna mafundi seremala, karakana, mafundi wa kushona nguo, saluni za nywele, maduka ya bidhaa na maduka ya dawa. Wakimbizi wengi wanajaribu kufanya kazi ambazo walikuwa wakizifanya kwenye nchi zao. Wengine wameleta bidhaa ama nyenzo zao na hivyo wanatengezena ajira.